photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > KUVAA NGUO ZA CHAMA KWENYE HALFA NA MATUKIO AU SIKUKUU ZA KITAIFA NI SAWA??.

KUVAA NGUO ZA CHAMA KWENYE HALFA NA MATUKIO AU SIKUKUU ZA KITAIFA NI SAWA??.

Posted on Dec 2, 2012 | No Comments


Kuvaa nguo za chama wakati mnafanya jambo la kitaifa, kama vile uzinduzi wa mradi fulani kwa ajili ya watanzania, hili ni jambo linaloashiria umoja kweli? Au ni kuashiria utengano?
 Mwalimu Nyerere alikuwa akifanya hivyo wakati wa shughuri za kitaifa? 
Na nchi za wenzetu je wanafanya hivyo wakati wa shughuri za kitaifa?

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru