photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > NASSARI AANIKA UFISADI WA MADIWANI WA CCM ARUMERU

NASSARI AANIKA UFISADI WA MADIWANI WA CCM ARUMERU

Posted on Dec 2, 2012 | No Comments


Ameanika ufisadi huo katika mkutano wa hadhara aliofanya sokoni tengeru jijini arusha jana.
 Amesema madiwani hao wa CCM wamekataa mpango wake wa kujenga soko la kimataifa hapo tengeru badala yake wamegawa vibanda kwenye eneo la soko na kuwauzia matajiri wachache, hivyo basi hakutaka kushiriki kwenye mpango huo wa kifisadi ndio sababu akasusa kikao cha council.
Kwahiyo amerudi kwa wananchi kuwaeleza yanayotendeka ili wananchi waamue.

Lema pia alikuwepo kumsapoti Nasari na akasema CCM imeamua kuwaajiri Kinana na Mangula ili waendeleze uzoefu wao wa wizi katika chama cha mapinduzi.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru