TRENI YA MWAKYEMBE INAPATA HASARA YA MILLIONI 10 KWA SIKU 5
Posted on
Dec 3, 2012
|
No Comments
Mbunge wa Ubungo amesema' serikali inapata hasara ya sh 10
milioni kila baada ya siku tano, ni kutokana na maandalizi duni, amesema
itafikia hatua usafiri huo utasimama kutokana na kuwa na miundombinu mibovu,
pamoja na mipango hisiyoridhisha iliyofanywa na mawaziri wa uchukuzi waliopita.
Je mh. Mwakyembe inamaana hakuliona ili tatizo?
Na kama kweli mh. Mnyika
amefanya utafiti nakugundua kuwa mradi huu wa treni hautadumu nini kifanyike
sasa? au ndiyo nguvu ya soda kwa serikali yetu?
