BWENI LA WASICHANA MOROGORO SEKONDARI LATEKETEA KWA MOTO
Posted on
Jul 16, 2012
|
No Comments
BWENI la wasichana wa shule ya Morogoro Sekondari limeteketea kwa Moto,wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 wengi wao waliokuwa kwenye bweni hilo wamepoteza fahamu na kukimbizwa hospital habar
Mkuu wa shule ya morogoro sekondari Thomas Chihwalo[aliyenyoosha mikono] akimaelezo wa tukio hilo kwa mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera [kati[ na mbunge wa jimbo la Morogoro Aziz Abood uskuu huu



