GARI LA ZIMAMOTO LAPATA AJALI DAR
Posted on
Jul 20, 2012
|
No Comments
Gari la zimamoto la Manispaa ya jiji la Dar es Salaam likiwa limepata ajali katika barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam majira ya asubuhi. Hali ndivyo livyokuwa.
Magari yakiwa katika msongamano mara baada ya kutokea ajali na kusababisha kufungwa kwa barabara.
Mtangazaji wa ITV, Bw. Sam Mahela akifanya mahijiano na Kaimu Kamishna wa Usalama wa Umma Bw. Fikiri akielezea jinsi tukio lilivyotokea.