photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> MATUKIO YA RAIS JAKAYA KIKWETE KATIKA MKUTANO WA 19 WA WAKUU WA NCHI ZA UMOJA WA AFRIKA (AU) ADDIS ABABA ETHIOPIA

MATUKIO YA RAIS JAKAYA KIKWETE KATIKA MKUTANO WA 19 WA WAKUU WA NCHI ZA UMOJA WA AFRIKA (AU) ADDIS ABABA ETHIOPIA

Posted on Jul 16, 2012 | No Comments

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Paul Kagame wa Rwanda wakati wa kikao maalum kilicojadili masuala ya Maziwa Makuu kilichofanyika jana jijini Addis Ababa Ethiopia.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Makamu wa Rais wa Malawi Bwana Khumbo Kachali jijini Addis Ababa Ethiopia wakati wa mkutano wa 19 wa Wakuu wan chi za Umoja wa Afrika Jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Misri Bwana Mohamed Mursi  pamoja na viongozi waandamizi wa Misri  wakati wa mkutano wa 19 wa Wakuu wa nchi za  Umoja wa Afrika(AU) uliofanyika jijini Addis Ababa Ethiopia Jana.(picha na Freddy Maro)

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru