MIILI 24 IMEPATIKANA HADI SASA, MATUKIO ZAIDI KATIKA PICHA KUZAMA KWA MELI IENDAYO ZANZIBAR
Posted on
Jul 18, 2012
|
No Comments
| -Majeruhi wakipatiwa Mablangeti kwa ajili ya kujihifadhi baada ya kuokolewa katika meli ya Star Gate iliozama huko katika bahari ya Chumbe Zanzibar na ikiwa na abiria 250. |
| Abiria waliyookolewa kutoka katika meli iliozama ya Star Gate katika bahari ya Chumbe Zanzibar. |
