photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > MKUTANO WA CCM MJINI KIGOMA

MKUTANO WA CCM MJINI KIGOMA

Posted on Jul 23, 2012 | No Comments

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala wa Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI,) Aggrey Mwanri akihutubia, kwenye mkutano wa CCM uliofanyika, jana , Julai 22, 2012, kwenye  Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini  Kigoma.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia, kwenye mkutano wa CCM uliofanyika, jana , Julai 22, 2012, kwenye  Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini  Kigoma.
Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano, Steven Wasira akihutubia kwenye  mkutano wa CCM uliofanyika, jana , Julai 22, 2012, kwenye  Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini  Kigoma.
Mamia ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa CCM katika Uwanja wa Community Centre, Mwanga mkoani Kigoma

Wazee kwenye mkutano wa CCM, Uwanjwa wa Community Cetre Mwanga Kigoma

Viongozi mbalimbali wa CCM waliohudhuria katika mkutano huo.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru