photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > MTANGAZAJI WA CLOUDS FM AKIMUHOJI MSTAAFU WA FREEMASONS AFRIKA MASHARIKI, SIR ANDY CHANDE

MTANGAZAJI WA CLOUDS FM AKIMUHOJI MSTAAFU WA FREEMASONS AFRIKA MASHARIKI, SIR ANDY CHANDE

Posted on Jul 21, 2012 | No Comments

Mstaafu wa Freemasons Afrika Mashariki,Sir Andy Chande akifafanua jambo wakati wa mahojiano na Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast,kutoka Clouds FM Gerald Hando nyumbani kwake kuhusiana na mambo mbalimbali yahusuyo Freemasons,ambayo hivi karibuni yalizua mtafaruku mkubwa miongoni mwa sehemu ya jamii.

*Ukitaka kumfahamu zaaidi ingia www.andychande.com

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru