photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > NI SIMBA NA AZAM YANGA NA MAFUNZO ROBO FAINALI..

NI SIMBA NA AZAM YANGA NA MAFUNZO ROBO FAINALI..

Posted on Jul 21, 2012 | No Comments

SIMBA NA VITAL CLUB ZATOKA SARE YA 1-1

Mchezaji wa timu ya Simba ya Tanzania Felix Sunzu akimiliki mpira mbele ya Ilongo Ilifo  beki wa timu ya Vital Club  ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mchezo wa kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, ambapo timu hizo zimetoka sare ya magoli 1-1
Kikosi cha timu ya Simba ya Tanzania kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo huo.
Upande mwingine sare 1-1 ya Azam imewaingia robo fainali wakikutana na Simba

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru