BILLIONI 140 ZA SENSA ZIMETUMIKAJE??..
Posted on
Aug 20, 2012
|
No Comments
Nina kijana alipigania sana nafasi ya ukarani wa uandikishaji wa sensa tangu mchakato wa mwanzo, na alinificha kumbe alitoa rushwa ya sh 60,000 baadaye sh 54,000...
Jana anakuja analalamika sana juu ya mateso na tabu anazopata katika mafunzo, na vitisho vya kuchujwa n.k
sasa nikamhuliza unalipwa sh ngapi?
hakaniambia sh 210,000 tu yani ( 7 x 30,000)
je kweli
~top level wanapata ngap?
~midle level wanalamba ngap?
~operation line kwani walambe 210,000
wakati ndio wanaoumia na madoso mafupo na marefu? nikweli billion 140 zinatumika au magumashi tu ya miccm kuchakachua mipesa ya UN.
Jana anakuja analalamika sana juu ya mateso na tabu anazopata katika mafunzo, na vitisho vya kuchujwa n.k
sasa nikamhuliza unalipwa sh ngapi?
hakaniambia sh 210,000 tu yani ( 7 x 30,000)
je kweli
~top level wanapata ngap?
~midle level wanalamba ngap?
~operation line kwani walambe 210,000
wakati ndio wanaoumia na madoso mafupo na marefu? nikweli billion 140 zinatumika au magumashi tu ya miccm kuchakachua mipesa ya UN.