photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > TASWIRA YA KUWASILI KWA DR. ULIMBOKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM.

TASWIRA YA KUWASILI KWA DR. ULIMBOKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM.

Posted on Aug 12, 2012 | No Comments

Asema.. "Nimepona, naweza kufanya kazi zangu kama kawaida. "
Kiongozi wa jumuiya ya madaktari nchini Tanzania, Dk. Steven Ulimboka, akiwa amebeba maua, na kuzungukwa na madaktari wenzake na wananchi wa kawaida, alipowasili leo mchana kwenye uwanja wa ndege wa kiamataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea kwenye matibabu Afrika Kusini. Alisema yuko fiti na anaweza kufanya shughuli zozote atakazopewa kuanzia sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru