WAZIRI WA USALAMA WA LIBYA AJIUZULU.
Posted on
Aug 26, 2012
|
No Comments
Ripoti kutoka Libya zinaeleza kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Fawzi Abdel A'al, amejiuzulu.
Hakujatolewa sababu.
Inatokea siku moja baada ya polisi katika mji mkuu, Tripoli, kutuhumiwa kuwa hawakufanya kitu kuwazuwia Waislamu wa msimamo mkali wasibomowe msikiti na kaburi la Wasufi mchana.