photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE ADUMU KATIKA NDOA

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE ADUMU KATIKA NDOA

Posted on Sep 8, 2012 | No Comments


Unapoamua kuolewa ni jambo jema. Ila kuna mambo lazima uyajue mapema na ya sikupe pressure ya kuahirisha ndoa au kukataa tamaa. Kuna usemi usemao wanaume mama yao mmoja, huu usikusumbue kabisa. Si lazima awe malaaya, mlevi, mpigaji nk
Kila Mmoja ana hulka zake. Vitu vya kuangalia, anajua kumake love- kusex, anakusikiliza, anajali. Kama anazo sifa kuu tatu inatosha sana na ni mwanzo mzuri. Ila kama sifa hizi tatu hana wewe jiandae kuteseka na ndoa

Kuna baadhi ya wanaume wanatatizo la kutojua kumake love or kusex. Na hii hukufanya hamu yako ya mapenzi isitimie. Madhara yake ni hasira, kutojiamini na kukupelekea kukumbuka wapenzi wa zamani au kutafuta wapya. Pia utamdharau sana mumeo

Kama hakusikilizi basi utahisi kudharauliwa siku zote na kujiona mnyonge. Ni vizuri ukaona unasikilizwwa kwwenyye michango yako ya kifamilia na upenzi. Pia kama anakusikiliza kwa kila kitu na kisha hakujali pia itakuumiza. Ni vizuri akajali kwa kukuonyesha upenzi. Haya ndio mapeenzi ya dhati
weekend njema

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru