HUYU NDIYO MWANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE ALIYEFANYA MTIHANI WA TAIFA WODINI
Posted on
Oct 11, 2012
|
No Comments

Mwanafunzi
wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Alfa Morogoro, Jesca
Kiliani (17) akifanya mtihani wa taifa wa kidato hicho akiwa wadi namba
7B katika hospitali ya rufaa ya mkoa huo jana, baada ya kulazwa
kufuatia kufanyiwa operesheni ya uvimbe ambapo hivi sasa anaendelea na
matibabu hospitalini hapo.