JERRY SILAA AVUNJA REKODI KWA KUPATA KURA NYINGI NAFASI YA UJUMBE UVCCM.
Posted on
Oct 25, 2012
|
No Comments
Mstahiki
Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (pichani) ameibuka Kidedea na
kuvunja rekodi ya Mwaka baada ya kutetea nafasi yake ya Ujumbe UVCCM
kwa kupata kura 501 ambazo ni nyingi kuliko hata Mwenyekiti katika
chaguzi zilizofanyika mjini Dodoma. Na Mdau Dodoma.