photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > KIONGOZI WA UPINZANI RWANDA VICTOIRE INGABIRE AHUKUMIWA MIAKA 8 JELA.

KIONGOZI WA UPINZANI RWANDA VICTOIRE INGABIRE AHUKUMIWA MIAKA 8 JELA.

Posted on Oct 30, 2012 | No Comments

Kiongozi wa upinzani nchini Rwanda Victoire Ingabire (pichani) amepatikana na hati katika kesi ya uhaini iliyokuwa ikimkabili na kuhukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka nane jela.
Upande wa mashitaka ulitaka ahukumiwe kifungo cha maisha kwa makosa aliyokuwa akishitakiwa nayo ya kutishia usalama wan chi.
Mahakama pia imemuona kuwa na hatia ya kudharau mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.
Hata hivyo Ingabire hakuwepo mahakamani kusikiliza hukumu dhidi yake kwa kuwa aliigomea kesi hiyo akisema inachochewa na masuala ya kisiasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru