MKUKI KWA NGURUWE (DR ULIMBOKA) KWA BINADAMU (RPC BARLOW)
Posted on
Oct 28, 2012
|
No Comments
Nimesoma na kusikiliza maelezo Ya MANUMBA. kuwa polisi
wamefanikiwa kuwapata wahalifu kwa kutumia mawasiliano ya simu. Inavyoonesha
Muuaji..alitoweka na simu ya Mwl. kisha alitoa laini ya simu ya mwl. Doroth na
kumpatia simu hiyo mwanamke mwingine...pasipo jua, kila simu huwa na serial
number ambayo inakuwa unique.
Ndipo polisi walipofuatilia mawasiliana ya simu ya Mwl. hadi waliponasa mwanamke huyo na kumtaja aliyempa simu hiyo...na hatimaye wahalifu wakatiwa nguvuni.
Swali kwa nini ushahidi wa gazeti la Mwana halisi wa simu......ulipelekea gazeti kufungiwa? .....
Ndipo polisi walipofuatilia mawasiliana ya simu ya Mwl. hadi waliponasa mwanamke huyo na kumtaja aliyempa simu hiyo...na hatimaye wahalifu wakatiwa nguvuni.
Swali kwa nini ushahidi wa gazeti la Mwana halisi wa simu......ulipelekea gazeti kufungiwa? .....
Tafakari..