photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > UVCCM WAPEANA KIPIGO LAIVU KWENYE UCHAGUZI, ANGALIA >>

UVCCM WAPEANA KIPIGO LAIVU KWENYE UCHAGUZI, ANGALIA >>

Posted on Oct 9, 2012 | No Comments

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, uchaguzi wa jumuiya ya umoja wa vijana wa CCM, UVCCM mkoani Mara, ulikumbwa na songombingo nguo kuchanika baada ya vijana hao kuzua ugomvi na kupeana kichapo cha nguvu. Kwenye vurugu hizo, licha ya kutwangana ngumi, wadau hao walirushiana viti, mawe na silaha mbalimbali za jadi ndani na nje ya ukumbi wa mkutano jambo ambalo lilisababisha mkutano huo kuvunjika.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru