MAELEZO JUU YA AFYA YA MBUNGE WA MOSHI MJINI (CHADEMA) MZEE PHILEMON NDESAMBURO
Posted on
Nov 13, 2012
|
No Comments

Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini (Chadema),Philemon Ndesamburo
''UTATA umegubika afya ya Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini
(Chadema), Philemon Ndesamburo huku taarifa zikidai kuwa anaumwa na
anapatiwa matibabu nchini Uingereza.''
UTATA umegubika afya ya Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini (Chadema),
Philemon Ndesamburo huku taarifa zikidai kuwa anaumwa na anapatiwa
matibabu nchini Uingereza.
Wakati hali ikiwa hivyo kwa Ndesamburo, Waziri wa zamani wa Elimu, Jackson Makwetta inaelezwa kuwa hali yake ni mbaya.
Ndugu wa karibu wa mbunge huyo wa zamani wa Njombe Kaskazini aliyekataa kutaja jina, alisema Makweta alianza kusumbuliwa na ugonjwa wa moyo kwa muda mrefu jambo lililosababisha kulazwa katika Hospitali ya Consolata Ikonda iliyopo Wilaya ya Makete Mkoa wa Iringa.
Wakati hali ikiwa hivyo kwa Ndesamburo, Waziri wa zamani wa Elimu, Jackson Makwetta inaelezwa kuwa hali yake ni mbaya.
Ndugu wa karibu wa mbunge huyo wa zamani wa Njombe Kaskazini aliyekataa kutaja jina, alisema Makweta alianza kusumbuliwa na ugonjwa wa moyo kwa muda mrefu jambo lililosababisha kulazwa katika Hospitali ya Consolata Ikonda iliyopo Wilaya ya Makete Mkoa wa Iringa.