photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > MAWAKILI WA VIONGOZI WA UAMSHO WALALAMIKIA HALI YA WATEJA WAO GEREZANI.

MAWAKILI WA VIONGOZI WA UAMSHO WALALAMIKIA HALI YA WATEJA WAO GEREZANI.

Posted on Nov 8, 2012 | No Comments



Mawakili wa Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI ) wamesema  kuwa wateja wao waliokamatwa siku 17 zilizopita kwa tuhuma za kuchochea vurugu kisiwani Unguja, hawatendewi haki na wanapata mateso makubwa gerezani wanakoshikiliwa ikiwemo kunyolewa ndevu.
Mawakili hao wakiongozwa na Salim Tawfiq wanasema kwa sasa wateja wao hawapaswi kutendewa visa kama hivyo kwa kuwa bado ni watuhumiwa na kwamba hawajatiwa hatiani.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru