SAFARI ZA RAIS JAKAYA KIKWETE ????...
Posted on
Nov 14, 2012
|
No Comments
Ikiwa Rais Obama amekaa madarakani miaka 4 na kufanya
jumla ya safari 32 na kutakiwa kutaja faida ya kila safari ndipo apate uhalali
wa kuchaguliwa tena.
Nyerere alikaa madarakani miaka 25 na kufanya jumla ya safari 68 tu.
Ndg. JK Amekuwa madarakani kwa muda miaka 7 na kufanya jumla ya safar 322.
Je nini kifanyike kudhibiti mfumuko wa safari kwa Rais wetu?
Je, Lini atatoa maelezo ya faida za safari hizo?.
Nyerere alikaa madarakani miaka 25 na kufanya jumla ya safari 68 tu.
Ndg. JK Amekuwa madarakani kwa muda miaka 7 na kufanya jumla ya safar 322.
Je nini kifanyike kudhibiti mfumuko wa safari kwa Rais wetu?
Je, Lini atatoa maelezo ya faida za safari hizo?.
Tafakari...