photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > ZAIDI YA WATU 200 WAJERUHIWA TUNISIA KUFUATIA MAANDAMANO YA WATU WASIOKUWA NA AJIRA

ZAIDI YA WATU 200 WAJERUHIWA TUNISIA KUFUATIA MAANDAMANO YA WATU WASIOKUWA NA AJIRA

Posted on Nov 29, 2012 | No Comments

 Zaidi ya watu 200 wamejeruhiwa katika siku ya pili ya mapigano katika mji wa Siliana nchini Tunisia.
Iliwabidi maafisa usalama kutumia mabomu ya kutoa machozi na risasi za rashasha kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wakidai ajira, huku kukiwa na taarifa za watu kujeruhiwa kwa risasi za moto.
Vyama vya wafanyakazi nchini humo vimeitisha maandamano zaidi.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru