photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA SADC JIJINI DAR KATIKA PICHA

MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA SADC JIJINI DAR KATIKA PICHA

Posted on Dec 9, 2012 | No Comments

Rais Jakaya mrisho kikwete, akikaribisha viongozi wenzie wa nchi za SADC katika  kikao cha dharura cha Jumuiya hiyo katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo Desemba 8, 2012.
 Rais Jakaya mrisho kikwete, katika picha ya pamoja na  viongozi wenzie wa nchi za SADC katika  kikao cha dharura cha Jumuiya hiyo katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo Desemba 8, 2012.
Rais Jakaya mrisho kikwete, Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini na  Rais Hifikepunye Pohamba wa Namibia pamoja na   Katibu Mkuu wa SADC Dr.Tomaz Salomao. na Mawaziri wa nchi hizo wakipitia rasimu ya muhtasari wa kikao kabla ya kuanza kwa kikao cha dharura cha Jumuiya hiyo katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo Desemba 8, 2012. (Picha na IKULU).

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru