photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > UCHAGUZI KENYA; UHURU KENYATTA NA RAILA ODINGA BADO MISHE MISHE.

UCHAGUZI KENYA; UHURU KENYATTA NA RAILA ODINGA BADO MISHE MISHE.

Posted on Mar 5, 2013 | No Comments


Kura zikihesabiwa kwenye kituo kilichopo Viwanja vya Kibera Social, jijini Nairobi baada ya wananchi wa Kenya kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo jana.

Uhuru Kenyataa wa TNA amepata kura 1,833,687  ni 50.11% ya kura zilizohesabiwa 

Raila Odinga wa chama cha ODM amepata kura 1,393,000 ni 41.00% ya kura zote zilizohesabiwa,

Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Kenya yanaonyesha kuwa Uhuru Kenyatta, mtoto wa Rais wa Kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta anaongoza, huku akifuatiwa kwa karibu na aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Raila Odinga.
Kama alivyo Uhuru, Raila pia ni mtoto wa mmoja wa waasisi wa taifa la Kenya, ambaye alikuwa Makamu wa Mzee Kenyatta, Jaramong Oginga Odinga.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru