photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > KANISA LA TAG LACHOMWA MOTO MJINI TANGA

KANISA LA TAG LACHOMWA MOTO MJINI TANGA

Posted on May 18, 2013 | 2 Comments

Kanisa la TAG mjini Tanga limechomwa moto na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo tarehe 18/5 na kuteketea kabisa. Pamoja na kanisa hilo kituo cha mafunzo ya watoto wadogo kilichokuwa jirani na kanisa nacho pia kimeteketezwa kwa moto. Pamoja na kwamba majirani wanatoa ushuhuda kwamba waliwasikia kikundi cha watu eneo hilo, mpaka sasa hakuna mtu aliyekamatwa kuhusiana na tukio hilo.

Source: star Tv

Comments: 2

  1. ndo tulipofikishwa na serikali ya ccm

    ReplyDelete
  2. Baba wa familia akishindwa kuwa na sauti basi kila mmoja anajifanyia anachotaka. Mama anaweza kurudi usiku wa manane au asubuhi yake. Watoto wakike nao wanaweza kuleta wanaume hapo nyumbuni. Wakiume nao wanaweza kuwa wafuta bangi, wezi n.k.Familia ikifikia hapo lazima patakuwa hapakaliki.Hivi wanasiasa na viongozi wetu wangazi za juu wanatupeleka wapi. Naomba JWTZ iingilie kati bora tutawaliwe na wanajeshi.

    ReplyDelete