MWINGILU NCHEMBA; TUPE KAULI YAKO BAADA YA MAHAKAMA KUMFUTIA RWAKATALE KESI YA UGAIDI
Posted on
May 18, 2013
|
1 Comment
Heshima kwenu wanajamvi...
karibia wiki mbili sasa baada ya mahakama kuu kumfutia Lwakatale kesi ya ugaidi. Naamini mwigulu au alikuwa hayuko nchini au ndio kipindi hicho alikuwa anaondoka kwenda China. Tangu maamuzi hayo yatolewe na mahakama hatujasikia kauli ya mwigulu Nchemba iwapo atamshawishi DPP akate rufaa au mikanda aliyonayo inao ushahidi zaidi wa kuishawishi mahakama ione hatia ya ugaidi kwa Lwakale.
Hebu ajongee hapa atoe kauli yake...
Hawa wanapenda sana siasa hawa wanazugazuga tu
ReplyDelete