KIMENUKA ARUSHAA...MACHAFUKO ZAIDI YAENDELEA KUSHUHUDIWAA.
Posted on
Jun 18, 2013
|
No Comments

Kwa taarifa zilizoifikia JamiiPRess muda sio mrefuu inasema mabomu yanaendelea kurindima katika viwanja vya soweto baada ya watu waliojikusanya kwenda kwenye maombolezo wa wafiwa wa mabomu juzii kuziiwa na jeshi la polisi kukaidi. Polisi walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya watu.

