WEMA SEPETU SASA ANASA KWENYE MTANDAO WA MINAKI SANGA, NA HICHI NICHO KINACHOENDELEA NYUMA YA PAZIA.
Posted on
Jan 29, 2014
|
No Comments


Super star wa bongo movie Wema Sepetu inadaiwa kuwa kuna jambo lililojificha kati yao yeye na msanii chipukizi Minaiki Sanga na imekuwa siri kubwa sana kati ya watu hao wawili.