photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > KITUKO CHA SIKU.

KITUKO CHA SIKU.

Posted on Jun 12, 2012 | No Comments

POLISI:WE dereva boya kweli ilikuwaje sasa ukagonga watu 26 kwa mpigo…yaani utaenda jela miaka ya shetani.
DEREVA:Hebu askari kabla hujanikamata nikuulize swali,kuna mtu mmoja kushoto na watu 25 kulia,we ungefanyaje ??
POLISI:Ningegonga mmoja wa kushoto,ningeacha 25 wa kulia
DEREVA:EHEEEE sasa nilipotaka kumgongayule mmoja wa kushoto,akakimbilia kwa wale 25,alidhani sijamuona nkamfuata huko huko.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru