photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> JAJI MKUU AWATUNUKU MAWAKILI WAPYA WA SERIKALI

JAJI MKUU AWATUNUKU MAWAKILI WAPYA WA SERIKALI

Posted on Jul 6, 2012 | No Comments

Waziri wa Katiba na Sheria Mathias Chikawe akitunukiwa Uwakili na Jaji Mkuu Othman Chande katika hafla ya kuwatunuku uwakili wanasheria wa serikali iliyofanyika leo jijini Dar es salaam
Katibu Msaidizi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (Mapitio) Angela Bahati Salema akisalimiana na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju mara baada ya kutunukiwa uwakili wa Serikali na Jaji Mkuu Othaman Chande
Majaji wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watunukiwa akiwemo Waziri wa Katiba na Sheria Mathias Chikawe (Wa nne kushoto mstari wa nyuma)
Jaji Mkuu Othman Chande akiwa na watunukiwa wa Uwakili

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru