Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijja(katikati) akikata utepa (leo) jijini Dar es salaam kuzindua maadhimisho ya miaka 40 tangu Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kilipoanzishwa. Maadhimisho hayo yamefanyika katika banda la Wizara ya Fedha kwenya maonyesho ya 36 ya biashara ya Kimataifa ya Dar es salaam . Wengine ni Rais wa Wanafunzi IFM Michael Charles(kushoto) na Mkuu wa Chuo cha IFM Profesa Godwin Mjema(wa pili kutoka kulia)