photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > SERENGETI FIESTA SOCCER BONANZA YAENDELEA UWANJA WA MEMORIOL MJINI MOSHI

SERENGETI FIESTA SOCCER BONANZA YAENDELEA UWANJA WA MEMORIOL MJINI MOSHI

Posted on Jul 8, 2012 | No Comments

Wachezaji wa timu ya mashabiki wa timu ya Barcelona wakishangilia mara baada ya mchezaji wao kufufunga goli zuri katika dakika tisini dhidi ya timu ya Mashabiki wa timu ya Chealsea katika mchezo wao wa fungua dima kwenye bonanza la Serengeti Fiesta Soccer Bonanza linalofanyika kwenye uwanja wa Memoriol mjini Moshi mkoani Kilimanjaro mchana huu.
Bonanza limepamba moto ambapo kumekuwa na burudani mbalimbali zikishirikisha mpira wa miguu kutoka kwa timu za mshabiki wa timu mbalimbali za Ulaya ambazo ni Manchester United, Liver Pool, Chealsea, Arsenal, Baeryen Munichen na Manchester City, Barcelona na Real Madrid.
Kikosi cha timu ya mashabiki wa Manchester kikiwa katika picha ya pamoja.
Kikosi cha Manchester City kikiwa katika picha ya pamoja.
Kikosi cha mashabiki wa timu ya Barcelona kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo huo.
Timu ya Bayern Minicheni wakisubiri kuanza kwa mchezo wao.
Timu ya mashabiki wa Chealsea wakiwa katika picha ya pamoja
Eneo hili likiwa limeandaliwa kwa ajili ya mashabiki maalum wa timu za mashabiki mbalimbali wa timu za Ulaya
Huduma ya kwanza imeimarishwa ili kuhakikisha wachezaji na mashabiki watakaopata matatizo yeyote katika bonanza hilo wanahudumiwa ipasavyo.
Mashabiki wa timu ya Barcelona wakiwa na jezi ya timu hiyo
Mtangazaji wa Clouds FM Mbwiga wa Mbwiguke akiongea na mwalimu wa timu ya Chealsea ambaye aliamua kujipoza na muwa mkuuubwa mara baada ya kufungwa goli moja kwa bila na Barcelona katika mchezo wa fungua dimba.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru