photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > ARUSHA TECHNICAL COLLEGE YASAINI USHIRIKIANO (MOU) NA TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA KARUME (KIST)

ARUSHA TECHNICAL COLLEGE YASAINI USHIRIKIANO (MOU) NA TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA KARUME (KIST)

Posted on Jul 14, 2012 | No Comments

Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Karume (KIST), Bw. Haji Abdulhamid (kushoto) akiweka saini ya Ushirikiano (MoU) na Chuo cha Ufundi Arusha (ATC). Kulia ni Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha , Dkt. Richard Masika


Mweyekiti wa Baraza la Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Karume (KIST), Mh. Mohammed Fakih Mohammed (katika), akisema neno mara baada ya kusainiwa ushirikano wa KIST na Chuo cha Ufundi Arusha

Mweyekiti wa Baraza la Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Karume (KIST), Mh. Mohammed Fakih Mohammed (wa tatu kulia) akipokea maelezo mafupi kuhusu mtambo wa kufua umeme uliotengenezwa na chuo cha Ufundi Arusha
Akitembelea maeneo ya chuo hicho kujionea mazingira

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru