KAGAME CUP; YANGA VS WAU SALAAM LIVE...
Posted on
Jul 17, 2012
|
No Comments
Mpira uwanja wa Taifa ni mapumziko na Yanga wanaongoza 6-0 dhidi ya Wau Salaam yaliyofungwa na Said Bahanunzi dkk 12, 17, Hamis Kiiza dkk 18, 25, 30, 35
47'- Young Africans inafanya mabadiliko, anaingia Juma Seif Kijiko anatoka Kelvin Yondan
Dakika ya 52 Young Africans inafanya mabadiliko, anaingia Rashid Gumbo anatoka Nizar Khalfani
Dakika ya 60' Idrisa Abdallah anaingia kuchukua nafasi ya Stefano Mwasika
Dakika ya 76' GOAL: Nizar Khalifan anaipatia yanga bao la saba
90 - Zimeongezwa Dakika 5
90 + 3: GOAL: Wau Salaam wanapata bao la kufutia machozi. 7-1
47'- Young Africans inafanya mabadiliko, anaingia Juma Seif Kijiko anatoka Kelvin Yondan
Dakika ya 52 Young Africans inafanya mabadiliko, anaingia Rashid Gumbo anatoka Nizar Khalfani
Dakika ya 60' Idrisa Abdallah anaingia kuchukua nafasi ya Stefano Mwasika
Dakika ya 76' GOAL: Nizar Khalifan anaipatia yanga bao la saba
90 - Zimeongezwa Dakika 5
90 + 3: GOAL: Wau Salaam wanapata bao la kufutia machozi. 7-1
