photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > NATIONAL FORCES ALLIANCE CHASHINDA LIBYA

NATIONAL FORCES ALLIANCE CHASHINDA LIBYA

Posted on Jul 17, 2012 | No Comments

Mahmoud Jibril
Mahmoud Jibril
Chama cha National Forces Alliance, kinachoongozwa na aliyekuwa Waziri Mkuu wa mpito Mahmoud Jibril kilipata ushindi kwa kunyakua viti 39.
Chama cha mwelekeo wa Dini ya kiislamu cha Muslim Brotherhood kilichukua nafasi ya pili kwa kushinda viti 17.
Bunge hilo la wanachama 200 litakuwa na wabunge wengi wa kujitegemea.
Bunge hilo litakuwa na mamlaka makubwa ambapo linatarajiwa kuunda Serikali mpya ya mpito na wakati huohuo kusimamia shughuli za kutunga Katiba mpya.
Wabunge hao wanapaswa kushikilia madaraka yao kwa zaidi ya mwaka mmoja.
Nao Raia wa libya wana matumaini kuwa uchaguzi huo ni mwanzo mpya wa utaratibu wa utawala wa kidemokrasia nchini.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru