NDOA NDOANO; USIFANYE MAISHA YA MAPENZI KAMA MARATHONI
Posted on
Jul 14, 2012
|
No Comments
Hebu Jamani kwenye Mapenzi hatushindanii medali na wala hatushindani na mtu!..Mara nyingi ni wewe na moyo wako tu..na mwisho wa siku ukishinda ni wewe na ukishindwa ni wewe pia..
Sasa inaku waje tunaishi kwenye mahusiano yetu aidha NDOA au Mapenzi ya kawaida kwa kukimbizana na Majirani zetu. Yaan ukimuona jirani kamfanyia hivi mwenzie na wewe mbio kufanya as if uko kwenye mashindano..Ukiona mwenzio kafanyiwa vile roho inakuuma as if usipofanyiwa utakosa Medali??
Jichagulie SPEED ambayo unadhani itakufaa kwenye Mbio za haya Maisha na hakikisha Unapoanza Mbio zako uko kwenye Right lane and with right studs..otherwise ukiigiiza kufuata mbio za Akina Marion Jones na Usain Bolt utapasuka kifua..k wa sbb wao wamezaliwa na speed na kasi hzo..kinyume chake na wao wakifuata speed yako ya Kobe wataumia magoti!!!!..
Shirikiana nasi story yako hapa, tuma apa rchugga@gmail.com
Sasa inaku waje tunaishi kwenye mahusiano yetu aidha NDOA au Mapenzi ya kawaida kwa kukimbizana na Majirani zetu. Yaan ukimuona jirani kamfanyia hivi mwenzie na wewe mbio kufanya as if uko kwenye mashindano..Ukiona mwenzio kafanyiwa vile roho inakuuma as if usipofanyiwa utakosa Medali??
Jichagulie SPEED ambayo unadhani itakufaa kwenye Mbio za haya Maisha na hakikisha Unapoanza Mbio zako uko kwenye Right lane and with right studs..otherwise ukiigiiza kufuata mbio za Akina Marion Jones na Usain Bolt utapasuka kifua..k wa sbb wao wamezaliwa na speed na kasi hzo..kinyume chake na wao wakifuata speed yako ya Kobe wataumia magoti!!!!..
Shirikiana nasi story yako hapa, tuma apa rchugga@gmail.com