photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > RAIS WA LIBERIA KUZURU TANZANIA KWA SIKU TATU KUANZIA KESHO

RAIS WA LIBERIA KUZURU TANZANIA KWA SIKU TATU KUANZIA KESHO

Posted on Jul 16, 2012 | No Comments

RAIS wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf (Pichani), anatarija kuwa na ziara ya siku tatu hapa nchini. Rais huyo atawasili kesho Julai 17, 2012 saa 8:00 mchana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam. Akiwa nchini, atakuwa na shughuli mbalimbali kwa siku tatu za ziara yake

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru