photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > MAHAKAMA YATENGUA UBUNGE WA PETER KAFUMU IGUNGA

MAHAKAMA YATENGUA UBUNGE WA PETER KAFUMU IGUNGA

Posted on Aug 21, 2012 | No Comments

Mahakama kuu ya Tanzania imetengua matokeo ya ubunge wa mbunge wa jimbo mla Igunga Mh. Dalaly Peter Kafumu ambaye alichukua nafasi hiyo baada ya mbunge wa zamani wa jimbo hilo Rostam Azizi Kujiuzulu, taarifa zaidi kuhusiana na hukumu hiyo zitawajia baadae kupitia hapahapa 
rchugga.blogspot.com

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru