photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > RAIS WA ZANZIBAR DK. ALI SHEIN AKUTANA NA MWAKILISHI WA KUDUMU WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA (UN)

RAIS WA ZANZIBAR DK. ALI SHEIN AKUTANA NA MWAKILISHI WA KUDUMU WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA (UN)

Posted on Aug 26, 2012 | No Comments

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi Tuvuko Manongi,mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Nchini Marekeni,(kulia) alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais jana na katikati Naibu wake Balozi Ramadhan Muombwa
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi Tuvuko Manongi,mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Nchini Marekeni,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais (kushoto) ni Naibu wake Balozi Ramadhan Muombwa
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akibadilishana mawazo na Balozi Tuvuko Manongi,Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Nchini Marekeni,(kushoto) alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais, katikati ni Naibu Balozi Ramadhan Muombwa.Picha na Ramadhna Othman,Ikulu-Zanzibar

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru