photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > CHADEMA YAMTANGAZA MSAJILI WA VYAMA BW. JOHN TENDWA KUWA ADUI WA DEMOKRASIA.

CHADEMA YAMTANGAZA MSAJILI WA VYAMA BW. JOHN TENDWA KUWA ADUI WA DEMOKRASIA.

Posted on Sep 10, 2012 | No Comments

Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha Siasa cha Upinzani nchini Tanzania cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bw. Freeman Mbowe (Mb) (katikati) akitoa maazimio ya Kamati Kuu ya yaliyotolewa katika kikao maalum. Kulia ni Katibu Mkuu wa Chama hicho Dkt. Wilbrod Slaa na kushoto ni Makamu Mwenyekiti Taifa Bw. Said Issa Mohammed.
Amesema moja ya ya maazimio ya Kamati Kuu ni kuwa pamoja na kuendelea kuheshimu sheria ya vyama vya siasa, CHADEMA haitashiriki shughuli zozote zitakazosimamiwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Bw. John Tendwa hadi hapo atakapoondolewa katika nafasi yake na kuteuliwa msajili mwingine.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru