photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > RAIS WA KENYA MWAI KIBAKI AFUNGUA BUNGE LA TATU LA AFRIKA MASHARIKI

RAIS WA KENYA MWAI KIBAKI AFUNGUA BUNGE LA TATU LA AFRIKA MASHARIKI

Posted on Sep 9, 2012 | No Comments

   Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki.
 Sehemu ya wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki wakimsikiliza Rais Kibaki
 Wabunge wengine akiwemo Abdullah Mwinyi naye akisalimiana na Rais Mwai Kibaki wa Kenya
 Rais Mwaki Kibaki akisalimiana na Mbunge wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania Shy-Rose Bhanji.
  Maafisa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika picha ya pamoja na Mbunge Shy-Rose Bhanji mara baada ya ufunguzi.
 Rais wa Kenya Mwai Kibaki katika picha ya pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Margaret Zziwa (wa pili kushoto) na Wabunge wa Afrika Mashariki mara baada ya kufungua na kuhutubia Bunge hilo lililoanza wiki iliyopita jijini Nairobi, Kenya.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru