ENGLAND WAZINDUA KITUO CHA ST.GEORGE PARK CHENYE THAMANI YA £100 MILLION
Posted on
Oct 10, 2012
|
No Comments
![]() |
| Mjukuu wa Malkia wa Uingereza Prince William na mkewe Kate wakizindua kituo cha St.George Park |



![]() |
| Prince William akimtania Ashley Cole - Mchezaji ambaye juzi aliwatolea maneno machafu chama cha soka cha FA ambacho mjukuu huyo wa Malkia ndio Raisi. |
![]() |
| Wachezaji wa England wakiwa kwenye Jaccuzi wakipumzika baada ya mazoezi |
![]() |
| St.George Park |
![]() |
| Hostel za kituo cha St.George Park |
![]() |
| Uwanja wa ndani wa soka uliopo ndani ya kituo cha St.George Park |





