MGOGORO WA ZIWA NYASA TANZANIA TUNAWEZA KUFANYA KILE IRAN ALICHOKIFANYA DHIDI YA AZERBAIJAN
Posted on
Oct 9, 2012
|
No Comments
| Na Yericko Nyerere |
Katika
hali inayoonyesha kuwa Malawi wanakataa suluu ya mgogoro wa kihistoria
wa mpaka wa Tanzani na Malawi kule ziwa Nyasa, ni kuwa hivi sasa wenzetu
wamesusia vikao vya majadiliano ya kidiplomasia.
Ususiwaji
huu umekuja katika kipindi ambacho hoja za nguvu kwa kila upande
zikimiminika mezani pa wanaupano pasina kificho wala ghiriba kwa pande
yoyote,
Kile
nilichokiona pale Lilongwe na Mzuzu kilinipa matumaini makubwa ya
hitimisho la mzozo huu kwa upande wa Tanzania uliowakilishwa na ujumbe
mzito na maridhawa ulijiandaa vyema na ulikuja na nyaraka zote nyeti na
zakale (za mjerumani) Ndugu Bernad Membe waziri wa Mashauri ya kigeni
alikonga nyoyo za wajumbe wa tz huku nyoyo za Wanyasa zikiduwaa bila
kuamini kama Tanzania inazo nyara muhimu na za kale kiasi hicho,
Vivyo hivyo jopo la wanasheria nalo lilijipambanua vya kutosha na kuonyesha dhahiri mgogoro huu unaelekea ukingoni,
Kwa ujumla jopo lote toke tz lilitumika kama ilivyokusudiwa, na wajumbe waligawanywa katika makundi makuu matatu, 1. Wanadiplomasia, 2. Wataalamu wa Ramani na 3. ni Wanasheria.
Baada
ya kikao cha Mzuzu maazimio yalikuwa ni makutano ya Dar es Salaam mnamo
tarehe 10-14/9/2012, lakini katika hali ya kushangaza rais Banda ametoa
amri ya nchi yake kujitoa katika majadiliano hayo,
Hoja yake kuu anataka Tanzania itoe maelezo "kwanini imefanya mapitio/imechora upya ya ramani ya nchi wakati tupo kwenye mgogoro?"
Hoja hiyo inajibiwa na Tanzania kwa ufasaha kabisa kuwa "Uchoraji
huo hauhusiani na uwepo wa mgogoro huo bali Tanzania imeongeza idadi ya
mikoa na wilaya zake hivyo kama taifa huru imeamua kuainisha maeneo
hayo katika ramani ya nchi yetu sambamba na mipaka ya NCHI"
Lakini
hata hivyo bado Malawi imesusia majadiliano na Tarehe 8/10/2012
imetangaza kuendelea na utafiti wa mafuta na gesi katika eneo
linalogombewa.
Bado
nafasi ya kidiplomasia ipo, Ninawasihi Malawi na Joyce Banda warejee
kwenye meza ya majadiliano, kama sisi wawili tumeshindwana tutafute
msuluhishi atakae aminiwa na wote, na ikishindikana twende UN.
Kama
juhudi zote zikishindikana kwakuwa Malawi wanaonekana wanachembe ya
shinikizo la kimagharibi basi njia nyingine ni kutazama historia zenye
kufanana na utatuzi wake mfano mzuri ni mgogoro wa Caspian sea kati ya
Iran na Azerbaijan
Mgogoro
kama huu ulitokea huko Caspian sea kati ya Iran na Azerbaijan mwaka
2001, Utashangaa kuona jinsi Mwingereza anavyoshirikiana na Mmarekani
kwenye mambo ya mafuta. Kama ilivyo Malawi sasa kampuni ya utafiti
inatoka Uingereza ila masuala ya usalama yamesimamiwa na Mmarekani.
Katika
mgogoro huo Iran iliamua kuweka gunboat na kusema haitambui hiyo
mikataba iliyoingiwa na Azerbaijan na hata kuifukuza BP kufanya kufanya
utafiti hapo.
Rejea hapo chini:
By Craig Nelson in Moscow
12:01AM BST 29 Jul 2001
THE rush to exploit the oil riches beneath the Caspian Sea is threatening to turn violent after an Iranian patrol boat chased two British Petroleum vessels from a disputed exploration site off Azerbaijan last week.
A
gunboat from the Islamic republic intercepted the British oil company's
ships while the crews were conducting a marine survey 95 miles east of
Baku, Azerbaijan's capital.
The
Iranians ordered the exploration team out of the area - an offshore
oilfield claimed by both Iran and Azerbaijan. Iran's oil ministry
further stoked tensions by announcing that all contracts to prospect in
the contested area were invalid and warning oil firms against any plans
to drill there, the Itar-Tass news agency reported from Teheran.
The
move marks the growing militarisation of this corner of Asia, which has
become increasingly tense following the discovery of vast oil reserves.
The 700-mile-long Caspian contains six oilfields, most of which have
not been developed. Its total possible reserves could be many times the
proven deposits of up to 34 billion barrels.
Last
month, Washington - which sees the region as a important new source of
oil for the United States - delivered two patrol boats to the Azerbaijan
government to help monitor its borders. The US State Department said
the vessels were "non-lethal" and plans to send more.