UGANDA LEO YAADHIMISHA MIAKA 50 YA UHURU WA NCHI HIYO.
Posted on
Oct 9, 2012
|
No Comments
Serikali
pamoja na Wananchi wote kwa ujumla nchini Uganda leo wanasheherekea
maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru uliopatikana mwaka 1962.