photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > NMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO UDOM

NMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO UDOM

Posted on Oct 25, 2012 | No Comments

Meneja wa NMB Kanda ya Kati Bi. Lilian Mwinula ( wa pili kulia) akikabidhi vifaa mbali mbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 10 kwa ajili ya bonanza kwa Makamu Mkuu wa Chuo cha Dodoma Prof. Idris Kikula mkoani Dodoma. Akiangalia (kulia) ni Meneja NMB UDOM Bw. Alex Mpagama.
Meneja wa NMB Kanda ya Kati Bi. Lilian Mwinula (katikati) akikabidhi vifaa mbali mbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 10 kwa ajili ya Bonanza kwa Makamu Mkuu wa Chuo cha Dodoma Prof. Idris Kikula mkoani Dodoma. Akiangalia (kulia) ni Meneja NMB UDOM Bw. Alex Mpagama

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru