SERIKALI YAWATAKA WAHITIMU NBAA KUTUMIA ELIMU YAO KWA MANUFAA YA TAIFA.
Posted on
Oct 9, 2012
|
No Comments
Mgeni
Rasmi katika Mahafali ya 34 ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu
(NBAA) Naibu Waziri wa Fedha Mh. Janet Mbene (Mb) akitoa hotuba ambapo
pamoja na mambo mengine amesisitiza masuala ya nidhamu katika kutumia
na kusimamia rasilimali za nchi.
Baadhi ya wahitimu wa Shahada ya Juu ya NBAA.
Mdau
Chrespo Hezron (kulia) akipongezwa na mkewe Zai baada ya kuhitimu
shahada ya juu ya NBAA wakati wa mahafali ya 34 ya Bodi ya Wahasibu na
Wakaguzi wa Hesabu.