TOM SAINTFIET ALIYEKUWA KOCHA WA YANGA AWA KOCHA WA YEMEN.
Posted on
Oct 10, 2012
|
No Comments

Siku
chache baada ya kutimuliwa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet amepata ulaji
wa kuifundisha timu ya Taifa ya Yemen. Sainfiet alieifundisha Yanga kwa
siku 80 atakumbukwa kwa rekodi yake ya kushinda michezo 14 na kupoteza 2
tu huku akiwaachia taji la Afrika Mashariki na Kati katika Kombe la
Kagame. Bila shaka mashabiki wote wa Yanga watamtakia kila la heri
katika kazi yake mpya.