MKURUNGEZI WA MSD YUKO KAZINI MPAKA SASA???...
Posted on
Oct 10, 2012
|
No Comments
Na Gabriel Ulomi.
Sakata la ARV feki limeendelea huku serikali ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote kwa viongozi husika. Mkurungezi mkuu wa bohari, bwana Joseph Mgaya, mkaguzi wa bohari na kiwanda husika wote walitakiwa wachukuliwe hatua za haraka. Tukio kama hili china tungekuwa tunaongelea kauli nyingine sahivi. Tunaomba serikali iwajibishe wahusika punde iwezekanavyo kwani maisha ya binadamu ni kitu cha msingi.
Tafakari..