photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > WATU WANANE WAKAMATWA NA VIFAA VYA KULIPULIA MABOMU KANISANI BUKOBA

WATU WANANE WAKAMATWA NA VIFAA VYA KULIPULIA MABOMU KANISANI BUKOBA

Posted on Oct 8, 2012 | No Comments


Taarifa nilizozipata kutoka Bukoba ni kwamba,watu wanane wamekamatwa wakiwa nje ya kanisa katoliki mjini Bukoba wakiwa na vifaa ambavyo uchunguzi wa awali ulionesha kuwa ni vya mlipuko.
Katika kanisa hilo ndipo misa ya shukrani iliyohudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda,ilifanyika katika kanisa la Cathedral ambapo ndipo mwili wa Cardinal Rugambwa ulizikwa rasmi jumamosi.
Watu hao wameshikiliwa kituo cha polisi kwa uchunguzi na mahojiano zaidi.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru